Joshua 22:5

5 aLakini mwe waangalifu sana kushika amri na sheria zile Musa mtumishi wa Bwana alizowapa: yaani kumpenda Bwana Mwenyezi Mungu wenu na kuenenda katika njia zake zote, kutii amri zake, kushikamana naye kwa uthabiti na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.”

Copyright information for SwhKC